Home > Terms > Swahili (SW) > lugha iliyodhibitiwa

lugha iliyodhibitiwa

Ni sehemu ya lugha ya kiasili ambayo huwa na vizuizi kuhusu namna sarufu na msamiati ili kupunguza ama kuondoa utata na uchangamano. Lengo lake ni kuyafanya matini kuwa nyepesi na yanayoeleweka. Lugha iliyodhibitiwa ni hitaji muhimu katika kufanikisha utafsiri kwa kutumia tarakilishi.

0
Dodaj v Moj glosar

Kaj želite sporočiti?

Za sodelovanje v razpravah se morate vpisati.

Terms in the News

Featured Terms

edithrono
  • 0

    Terms

  • 0

    Glosarji

  • 1

    Followers

Industrija/področje: Festivals Category: Christmas

mshumaa

chanzo cha mwanga mfano wa utambi iliyoingizwa katika mafuta mango, kwa kawaida nta au mafuta, na kutumika katika Ukristo kumaanisha Mwanga wa Yesu ...

Sodelavec

Featured blossaries

Wacky Word Wednesday

Kategorija: Education   3 3 Terms

Types of Steels

Kategorija: Engineering   3 20 Terms