Home > Terms > Swahili (SW) > Eneo la urithi wa dunia la Shirika la Elimu,Sayansi, na Utanaduni la Umoja Wa Taifa.

Eneo la urithi wa dunia la Shirika la Elimu,Sayansi, na Utanaduni la Umoja Wa Taifa.

Ni eneo linalotambuliwa na Shirika la Elimu,Sayansi na Utamaduni la Umoja wa Taifa kama sehemu yenye thamani maalum ya kitamaduni. Linaweza kuwa msitu, mlima, ziwa, jangwa, mjengo, au mji mkubwa Orodha linatengenezwa na programu ya urithi wa dunia inayoendeshwa na kikundi cha Urithi wa dunia la Shirika la Elimu,Sayansi, na Utamaduni la Umoja wa Mataifa. Mwaka wa 1872, Kuna maeneo mia tisa sitini na mawili ambayo ni maeneo ya urithi wa dunia ambayo yako katika nchi mia moja hamsini na saba Kwa hayo, mia saba arobaini na tano ni ya kitanmaduni, mia moja themanini na nane ni ya kiasili na ishirini na tisa ni mchanganyiko.

0
  • Besedna vrsta: proper noun
  • Sinonim(-i):
  • Blossary:
  • Industrija/področje: Culture
  • Category: People
  • Company:
  • Proizvod:
  • Akronim/okrajšava:
Dodaj v Moj glosar

Kaj želite sporočiti?

Za sodelovanje v razpravah se morate vpisati.

Terms in the News

Featured Terms

DEBORA KAYEMBE
  • 0

    Terms

  • 0

    Glosarji

  • 7

    Followers

Industrija/področje: Government Category: U.S. election

Iowa Kamati za Wabunge

Kamati za Wabunge Iowa ni mfululizo wa mikutano ya uchaguzi uliofanyika kwa wanachama wa ndani na chama cha siasa na kuchagua wajumbe kwa mkataba wa ...

Sodelavec

Featured blossaries

Bobs Family

Kategorija: Arts   2 8 Terms

The National Park of American Samoa

Kategorija: Geography   1 1 Terms